Search This Blog

Friday, December 7, 2012

Magufuli na Tsvangirai Wahudhuria Uzinduzi Kampeni za ODM Kenya

Waziri wa Ujenzi Nchini Dk. John Magufuli na Waziri Mkuu wa Zimbabwe Morgan Tsvangirai wamekaribishwa na Waziri Mkuu wa Kenya Raila Odinga kuhudhulia uzinduzi wa Kampeni uchaguzi mkuu wa Kenya utakaofanyika mwanzoni mwa mwaka 2013.
Uzinduzi huo uitwao " 2nd National Delegates Convention"  unafanyika leo Desemba 7, 2012.

No comments:

Post a Comment