Search This Blog

Friday, November 2, 2012

Watuhumiwa wa mauaji ya RPC Barlow wafikishwa Mahakamani leo

Kwa usiri mkubwa huku mvua ikinyesha na ulinzi mkali, watuhumiwa watano ambao walikamatwa Dar es salaam leo wamefikishwa mahakamani wakikabiliwa na mashitaka ya kuhusika kumuua aliyekuwa kamanda wa Polisi mkoa wa Mwanza.


 

No comments:

Post a Comment