Mbowe akiwa na Mawakili wake Polisi |
Search This Blog
Monday, July 15, 2013
Mbowe atinga Polisi Makao Makuu kwa mahojiano
Kwa wale ambao mnakumbuka kuwa siku ya ijumaa usiku wa manane Polisi kutoka Mkoa wa Kipolisi wa Kinondoni wakiongozwa na RCO wa Kinondoni walienda nyumbani kwa Mbowe majira ya saa saba usiku kwa lengo la kumkamata, Mbowe alikuwa safarini na alipitia Airport ya Dsm Hivyo kwenda kwake usiku ni jambo la kushangaza sana , leo amerejea kupitia Airport ya Dar na akaamua kwenda moja kwa moja Polisi ili kujua kulikoni.
Labels:
SIASA
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment